Kamusi hii ya lugha nyingi ni orodha ya maneno na ufafanuzi ya shule katika lugha tano: Kiarabu, Kiingereza, Kikurdi Kurmanji, Kireno na Kiswahili. Kamusi hiyo inaarifiwa na utafiti ambao ulikuwa ushirikiano kati ya watafiti, Idara ya Elimu ya Queensland na wafanyakazi wa Elimu Queensland pamoja na Multicultural Australia na wanajamii na familia. Kamusi hii imeundwa kusaidia mawasiliano kati ya shule za Queensland na familia kutoka asili mbalimbali za kitamaduni na kilugha (CALD).
Kamusi ya Kiswahili PDF
1. Watu katika shule yetu
People at our school |
|
PrincipalThe person who is the leader of the school. |
Mkuu wa ShuleMtu ambaye ni kiongozi wa shule. |
Deputy PrincipalThe person who assists the leader of the school and can substitute if the Principal is away. |
Naibu Mkuu wa ShuleMtu ambaye anamsaidia kiongozi wa shule na anaweza kuchukua nafasi ya Mkuu wa Shule iwapo hayupo. |
Head of Special Education Services (HOSES)The person in charge of Special Education which looks after students with disabilities and special needs. |
Mkuu wa Huduma za Elimu Maalum (HOSES)Mtu anayesimamia Elimu Maalum inayotunza wanafunzi wenye ulemavu na mahitaji maalum. |
Head of Department (HOD)The person in charge of a subject area such as Mathematics. |
Mkuu wa Idara (HOD)Mtu anayesimamia eneo la somo kama vile Hisabati. |
TeacherTeacher. |
MwalimuMwalimu. |
Teacher AideThe person who helps teachers by doing tasks such as reading aloud with individual students and preparing teaching materials. |
Mwalimu MsaidiziMtu ambaye anawasaidia walimu kwa kufanya kazi kama vile kusoma kwa sauti na mwanafunzi mmoja mmoja na kuandaa nyenzo za kufundishia. |
English as an Additional Language/Dialect TeacherThe teacher who helps students who do not have English as their first or home language. |
Mwalimu wa Kiingereza kama Lugha/Lahaja ZiadaMwalimu anayewasaidia wanafunzi ambao hawana Kiingereza kama lugha ya kwanza au nyumbani. |
Speech pathologistA health professional who helps students who have communication problems such as voicing sounds and words. |
Mtaalam wa tiba ya matatizo ya kunenaMtaalamu wa afya anayewasaidia wanafunzi ambao wana matatizo ya kuwasiliana kama vile kutamka sauti na maneno. |
Chaplain (Chappy)This person is a student welfare worker who helps students with emotional and social support. The chaplain might be from a faith-based background. |
KasisiMtu huyu ni mfanyakazi wa ustawi wa wanafunzi anayewasaidia wanafunzi na usaidizi wa kihisia na kijamii. Kasisi huenda ametoka asili yenye imani. |
Community Liaison Officer (CLO)This person connects the school with parents and families. |
Afisa Uhusiano wa Jamii (CLO)Mtu huyu anaunganisha shule pamoja na wazazi na familia. |
Youth Support CoordinatorThis person is a support officer who helps students who are finding school life difficult, particularly in secondary school. |
Mratiba wa Msaada wa VijanaMtu huyu ni afisa wa msaada anayesaidia wanafunzi ambao wanaona maisha ya shule ni magumu, haswa kwenye shule ya upili. |
LibrarianThis person works in the library and helps students with sourcing information for school assignments in books and online on the internet. |
MkutubiMtu huyu anafanya kazi kwenye maktaba na husaidia wanafunzi kupata taarifa kwa migawo ya shule katika vitabu na mtandaoni kwenye intaneti. |
Grounds personThis person keeps the school gardens and sports fields clean and well-maintained. |
Mfanyakazi wa viwanjaMtu huyu hutunza bustani za shule na viwanja vya michezo kuwa safi na kutunzwa vizuri. |
Tuckshop convenorThis person runs the tuckshop where students can buy food during the lunch breaks. |
Mratibu wa duka la vyakulaMtu huyu anaendesha duka la vyakula ambapo wanafunzi wanapoweza kununua chakula wakati wa mapumziko ya chakula cha mchana. |
Family coordinatorThis person connects families with support services and helpful information. |
Mratibu wa familiaMtu huyu anaunganisha familia na huduma za msaada na taarifa ya kusaidika. |
Language Support teacherThe teacher who helps students who do not have English as their first or home language. |
Mwalimu wa Usaidizi wa LughaMwalimu anayewasaidia wanafunzi ambao hawasemi Kiingereza kama lugha yao ya kwanza au nyumbani. |
School receptionistThe school receptionist works at the school front office. This person may be the first person who speaks with families when they arrive at the school or phone the school. |
Mpokezi wa shuleMpokezi wa shule hufanya kazi katika ofisi ya mbele ya shule. Mtu huyu anaweza kuwa mtu wa kwanza anayezungumza na familia wanapofika shuleni au kupigia simu shuleni. |
School nurseThis person is a health professional who cares for students if they are feeling sick or have an injury. |
Muuguzi wa shuleMtu huyu ni mtaalam wa afya anayetunza wanafunzi ikiwa wakijisikia wagonjwa au wana jeraha. |
InterpreterThis person speaks the first or home language of a student or family and is specially trained to help the school and family or student to talk to each other about important matters. Families can ask for an interpreter. |
MkalimaniMtu huyu husema lugha ya kwanza au ya nyumbani ya mwanafunzi au jamaa na amefunzwa hasa kusaidia shule na familia au mwanafunzi kuzungumza wao kwa wao kuhusu mambo muhimu. Familia zinaweza kuomba mkalimani. |
School-based Police OfficerThis person is a member of the police service and is based at the school to help build positive relationships between the school community and police. |
Afisa wa Polisi wa ShuleMtu huyu ni mjumbe wa jeshi la polisi na yuko shuleni ili kusaidia kujenga uhusiano mzuri kati ya jumuiya ya shule na polisi. |
School CaptainThe student who is the leader of all the students at the school. The school captain works with the principal, deputy principal and teachers to represent the views of fellow students. |
Kapteni wa ShuleMwanafunzi ambaye ni kiongozi wa wanafunzi wote shuleni. Kapteni wa shule anafanya kazi na mkuu wa shule, mkuu naibu na walimu kuwakilisha maoni ya wanafunzi wenzao. |
House CaptainStudents are often organised into Houses for sport and arts events. The House Captain is the leader and responsible for organising events and looking after students in the House. |
Kapteni wa NyumbaWanafunzi mara nyingi hupangwa katika Nyumba kwa matukio ya michezo na sanaa. Kapteni wa Nyumba ni kiongozi na ana wajibu kupanga matukio na kuwatunza wanafunzi katika Nyumba. |
Student CouncilThe Student Council is a group of student leaders which represents student concerns to the school principal and teachers. |
Baraza la MwanafunziBaraza la Mwanafunzi ni kundi la viongozi wa wanafunzi ambalo linawakilisha masuala ya wanafunzi kwa mkuu wa shule na walimu. |
StudentA young person who is attending school. |
MwanafunziKijana anayehudhuria shuleni. |
Parents and Citizens Association (P&C)A group of parents of students at the school and citizens from the community who meet regularly and assist the school with fund-raising for resources at the school. |
Shirika la Wazazi na Waraia (P&C)Kundi la wazazi wa wanafunzi shuleni na wananchi kutoka jamii wanaokutana mara kwa mara na kusaidia shule na kuchangisha fedha kwa ajili ya nyenzo shuleni. |
2. Kuandikisha
Enrolment |
|
NameThe full name. |
JinaJina kamili. |
First nameThe name of a person on their birth certificate or passport that refers specifically to them. It may not come first when they say or write their name. |
Jina la kwanzaJina la mtu kwenye cheti cha kuzaliwa au pasipoti ambalo linamhusu hasa. Huenda lisiwe la kwanza anaposema au kuandika jina lake. |
Given nameThe name of a person on their birth certificate or passport that refers specifically to them. |
Jina la kupewaJina la mtu kwenye cheti cha kuzaliwa au pasipoti ambalo linamhusu hasa. |
Preferred nameThe name a person wants to be called. |
Jina linalopendelewaJina ambalo mtu anataka kutumiwa. |
Middle nameAn additional name that may not be used often. |
Jina la katiJina la ziada ambalo halitumiwi mara kwa mara. |
Last nameThe name shared by all members of the family. It may not come last when they say or write their name. |
Jina la mwishoJina linaloshirikiwa na wanafamilia wote. Huenda lisiwe la mwisho anaposema au kuandika jina lake. |
Family nameThe family name. |
Jina la familiaJina la ukoo. |
SurnameThe family name. |
Jina la ukooJina la ukoo. |
Date of Birth (DOB)The date, month and year of birth. |
Tarehe ya Kuzaliwa (DOB)Tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa. |
Catchment areaThe school catchment area is the geographical area around a school. At some schools a student must live in the catchment area in order to enrol at the school. |
Eneo la vyanzoEneo la vyanzo la shule ni eneo la kijiografia karibu na shule. Katika shule kadhaa mwanafunzi lazima aishi eneo la vyanzo ili kujiandikisha shuleni. |
Compulsory school ageIn Queensland all students have to attend school between the ages of 6 years and 6 months to 16 years or when they complete Year 10. |
Umri wa lazima wa shuleKatika Queensland wanafunzi wote wanapaswa kuhudhuria shuleni kati ya umri wa miaka 6 na miezi 6 hadi miaka 16 au wanapomaliza Mwaka wa 10. |
English as an Additional Language or Dialect (EAL/D)English as an additional language or dialect (EAL/D), formerly known as English as a Second Language (ESL), is a specialised field of education concerned with teaching English to learners who do not speak Standard Australian English as their first language. |
Kiingereza kama Lugha au Lahaja Ziada (EAL/D)Kiingereza kama lugha au lahaja ziada (EAL/D), kilichojulikana zamani kama Kiingereza kama Lugha ya Pili (ESL), ni uwanja maalumu wa elimu unaohusika na kufundisha Kiingereza kwa wanafunzi ambao hawazungumzi Kiingereza Sanifu cha Australia kama lugha ya kwanza. |
English as a Second Language (ESL)The field concerned with teaching English to students who do not use Standard Australian English as their first language. More recently people refer to English as an Additional Language or Dialect (EAL/D). |
Kiingereza kama Lugha ya Pili (ESL)Uwanja unaohusika na kufundisha Kiingereza kwa wanafunzi wasiotumia Kiingereza Sanifu cha Australia kama lugha ya kwanza. Hivi majuzi watu wamerejelea Kiingereza kama Lugha au Lahaja Ziada (EAL/D). |
EAL/D studentsEAL/D students do not speak Standard Australian English as their first language and need extra help to learn Standard Australian English (SAE). |
Wanafunzi wa EAL/DWanafunzi wa EAL/D hawazungumzi Kiingereza Sanifu cha Australia kama lugha yao ya kwanza na wanahitaji usaidizi wa ziada ili kujifunza Kiingereza Sanifu cha Australia (SAE). |
Intensive English programIntensive English programs provide intensive English tuition to newly arrived, school aged students whose first language is not English. Not all schools have an Intensive English program. |
Mpango wa Kiingereza cha MakiniMipango ya Kiingereza vya Makini hutoa masomo ya kina ya Kiingereza kwa wanafunzi wapya waliowasili, wenye umri wa shule ambao lugha yao ya kwanza si Kiingereza. Sio shule zote ambazo zina mpango wa Kiingereza cha Makini. |
Intensive EnglishExtra support given to EAL/D students who are beginning to learn English before they are able to understand what is being taught in different subjects. |
Kiingereza cha MakiniMsaada ziada ambao hutoa wanafunzi wa EAL/D wanaoanza kujifunza Kiingereza kabla ya kuweza kuelewa kile kinachofundishwa katika masomo mbalimbali. |
Home languageA language learned in childhood in the home environment, also referred to as mother tongue, or first language. |
Lugha ya nyumbaniLugha ambalo limejifunzwa utotoni katika mazingira ya nyumbani, pia linaloitwa kama lugha ya mama, au lugha ya kwanza. |
English languageStandard Australian English (SAE) is the variety of English common in Australia. |
Lugha ya KiingerezaKiingereza Sanifu cha Australia (SAE) ni aina ya Kiingereza cha kawaida nchini Australia. |
Kindergarten (Kindy)Kindergarten (kindy) is a program for children in the year before Prep (the first year of school in Queensland). |
Shule ya ChekecheaShule ya chekechea (kindy) ni programu kwa watoto wa mwaka kabla ya Shule ya Matayarisho (mwaka wa kwanza shuleni katika Queensland). |
Prep (Preparatory)Prep is the first year of school before Year 1. It is compulsory for Queensland children. Children attend Monday to Friday, generally from 9am to 3pm. |
Shule ya MatayarishoShule ya Matayarisho ni mwaka wa kwanza kabla ya Mwaka wa 1. Ni lazima kwa watoto wa Queensland. Watoto huhudhuria Jumatatu hadi Ijumaa, kwa jumla kutoka saa 3 asubuhi hadi saa 9 mchana. |
PrimaryPrimary school consists of Prep to Year 6. Prep is the first year of schooling in Queensland. |
MsingiShule ya msingi inajumuisha Shule ya Matayarisho hadi Mwaka wa 6. Shule ya Matayarisho ni mwaka wa kwanza wa shule katika Queensland. |
SecondarySecondary or high school is the final period of compulsory education in Queensland and consists of Years 7 – 12. |
SekondariShule ya sekondari au juu ni kipindi cha mwisho cha elimu ya lazima katika Queensland na inajumuisha Miaka ya 7 hadi 12. |
P-12P-12 stands for Prep to Year 12 and refers to some schools that provide classes from Prep to the final year of secondary school. |
P-12P-12 inamaanisha kwa Shule ya Matayarisho kwa Mwaka wa 12 na inarejelea kwa shule kadhaa zinazotoa masomo kutoka Shule ya Matayarisho hadi mwaka wa mwisho wa shule ya sekondari. |
Special SchoolIn Queensland a special school is a school that provides special education for students with a severe disability which includes an intellectual disability. |
Shule MaalumKatika Queensland shule maalum ni shule inayotoa elimu maalum kwa wanafunzi wenye ulemavu mkubwa au hitaji maalum unaojumuisha ulemavu wa kiakli. |
Year level / GradeYear level or grade refers to the level that a student is placed in on enrolment in the school e.g., Year 3. Generally students move up a level each year and are in classes with students of about the same age. |
Kiwango cha mwaka/ KidatoKiwango cha mwaka au kidato inarejelea kiwango ambacho mwanafunzi anawekwa anapoandikisha shuleni k.m Mwaka wa 3. Kwa jumla wanafunzi wanapanda kiwango kila mwaka na wako darasani pamoja na wanafunzi wa umri sawa. |
TermThe school year is often divided into four terms with terms separated by school holidays. For example, Term 1 is at the beginning of the year and will last from late January to late March. |
KipindiMwaka wa shule hugawanywa mara nyingi katika vipindi vine na vipindi vikitenganishwa na likizo za shule. Kwa mfano, Kipindi cha 1 kipo mwanzo wa mwaka na kitaendelea kutoka mwishoni mwa Januari hadi mwishoni mwa Machi. |
SemesterAn alternative method of dividing up the academic year, often associated with universities. There are generally two semesters in a year. |
MuhulaNjia mbadala ya kugawanya mwaka wa masomo, ambayo mara nyingi huhusishwa na vyuo vikuu. Kwa ujumla kuna mihula miwili kwa mwaka. |
School holidaysThe holidays dividing school terms with the summer holidays being the longest in Australia, usually from mid-December to late January. |
Likizo za shuleLikizo zinazogawanya vipindi vya shule na likizo za majira ya joto kuwa ndefu zaidi nchini Australia, kawaida kutoka katikati ya Desemba hadi mwishoni mwa Januari. |
ChildcareThe care provided for children by care-givers either in homes or early childhood care and education centres. This is paid for by parents, with subsidies available for some families. |
Utunzaji wa watotoMatunzo yanayotolewa kwa watoto na walezi ama nyjumbani au katika vituo vya utunzaji na elimu ya utotoni. Hii inalipiwa na wazazi, kwa ruzuku zinazopatikana kwa baadhi ya familia. |
Before and After School careBefore and after school care is commonly referred to as outside school hours care. |
Utunzaji wa Kabla na Baada ya ShuleUtunzaji wa kabla na baada ya shule hujulikana kwa kawaida kama utunzaji wa nje ya saa za shule. |
Vacation careCare offered during vacations or school holidays, providing a variety of programs from part-day to full-day care, including excursions. This is paid for by parents, with subsidies available for some families. |
Utunzaji wa LikizoUtunzaji unaotolewa wakati wa likizo au likizo ya shule, kutoa programu mbalimbali kutoka kwa siku ya sehemu hadi ya siku nzima, ikiwa ni pamoja na safari. Hii inalipiwa na wazazi, kwa ruzuku zinazopatikana kwa baadhi ya familia. |
Outside School Hours Care (OSHC)Outside school hours care (OSHC) is another name for before and after school care. These services are for families when adults work or study. This is paid for by parents, with subsidies available for some families. |
Utunzaji wa Nje za Saa za Shule (OSHC)Utunzaji wa nje za saa za shule (OSHC) ni jina lingine kwa utunzaji wa kabla na baada ya shule. Huduma hizi ni kwa familia wakati watu wazima wanafanya kazi au kusoma. Hii inalipiwa na wazazi, kwa ruzuku zinazopatikana kwa baadhi ya familia. |
Medical informationA record of a student’s medical conditions (including allergies), symptoms, and management including medications or medical devices. This information is stored securely by the school. |
Taarifa ya kimatibabuRekodi ya hali ya kimatibabu ya mwanafunzi (ikijumuisha mzio), dalili na usimiamiaji ikiwa ni pamoja na matibabu au vifaa vya kimatibabu. Taarifa hii huhifadhiwa salama na shule. |
AsthmaAsthma is a serious condition that affects people’s breathing. People with asthma can experience wheezing, shortness of breath, and tiredness. |
PumuPumu ni hali mbaya ambayo huathiri kupumua kwa watu. Watu walio na pumu wanaweza kupata kupumua, upungufu wa pumzi, na uchovu. |
AllergiesAn allergy is a reaction to something in the environment which is harmful to the person’s health. Treatment may be needed. |
MzioMzio ni mwitikio wa kitu katika mazingira ambayo ni hatari kwa afya ya mtu. Matibabu inaweza kuhitajika. |
MedicationThis refers to medicine or other forms of treatment for an illness or ailment. |
DawaHii inarejelea dawa au matibabu aina nyingine kwa ugonjwa au maradhi. |
IntakeThe number of students which a school enrols at one time, for example, at the beginning of the year. |
Ingizo/ MwingilioIdadi ya wanafunzi ambayo shule inaandikisha kwa wakati moja, kama vile, mwanzoni mwa mwaka. |
CohortA group of students who are doing the same thing, for example, practising for a particular exam. |
KundiKundi la wanafunzi ambalo wanafanya kitu kimoja, kama vile, kufanya mazoezi kwa ajili ya mtihani fulani. |
MySchool
|
MySchool
|
Uniform shopUniform shops operate at most schools and sell new and secondhand uniforms including sports uniforms for the students. |
Duka la sareMaduka ya sare hufanya kazi katika shule nyingi na kuuza sare mpya na mitumba ikijumuisha sare za michezo kwa ajili ya wanafunzi. |
Textbook listThe list of textbooks needed by the student for studies in the current year level. |
Orodha ya vitabu vya kiadaOrodha ya vitabu vya kiada inayohitajika na mwanafunzi kwa masomo katika kiwango cha mwaka kwa sasa. |
Stationery packThe list of stationery items, that is, pens, pencils, computer paper, ruler, pencil case that a student will need in the current year level. |
Kifurushi cha karatasiOrodha ya vitu vya karatasi, yaani, kalamu, penseli, karatasi ya kompyuta, rula, kipochi cha penseli ambavyo mwanafunzi atahitaji katika kiwango cha mwaka cha sasa. |
Bus informationInformation about the timetables of buses dropping students at school in the morning and picking them up in the afternoon after school has finished. |
Maelezo ya basiMaelezo kuhusu ratiba za mabasi yanayowateremsha wanafunzi shuleni asubuhi na kuwachukua mchana baada ya kumaliza shule. |
Drop offThe timeframe during which a family can take their child to school and leave the child there at the beginning of the school day. The drop off time is decided by the school and means that there are staff at the school to ensure the students are supervised and safe. |
KuteremshaMuda ambao familia inaweza kumpeleka mtoto shuleni na kumwacha mtoto hapo mwanzoni mwa siku ya shule. Muda wa kumteremsha shuleni unaamuliwa na shule na unamaanisha kuwa kuna wafanyakazi shuleni wa kuhakikisha wanafunzi wanasimamiwa na wapo salama. |
Pick upThe timeframe during which a family can collect their child from school at the end of the school day. The pick up time is decided by the school. |
KuchukuaMuda ambao familia inaweza kukusanya mtoto wake kutoka shuleni mwishoni mwa siku ya shule. Wakati wa kuchukua huamuliwa na shule. |
Media consentPermission from parents or carers for schools to use images, video, voice, and/or creative work of students and children. |
Idhini ya vyombo vya habariRuhusa kutoka kwa wazazi au walezi kwa shule kutumia picha, video, sauti na/au kazi ya ubunifu ya wanafunzi na watoto. |
Image releasePermission from parents or carers for schools to use images of students, often for advertising or marketing purposes. |
Kutolewa kwa pichaRuhusa kutoka kwa wazazi au walezi kwa shule kutumia picha za wanafunzi, mara nyingi kwa madhumuni ya utangazaji au uuzaji. |
CustodyCustody is defined in the Family Law Act as being primarily the right and responsibility to make decisions concerning the daily care and control of a child. |
UangaliziUangalizi unafafanuliwa katika Sheria ya Sheria ya Familia kuwa haki na wajibu wa kufanya maamuzi kuhusu malezi na udhibiti wa kila siku wa mtoto. |
Court orderA court order is a penalty that is issued when a person is found guilty of an offence by a supreme, district or magistrates court in Queensland. |
Amri wa kortiniAmri wa kortini ni adhabu ambayo hutolewa wakati mtu anapopatikana na hatia ya kosa na mahakama kuu, wilaya au ya hakimu katika Queensland. |
Immunisation RecordAn Immunisation Record is a list of all a person’s vaccinations recorded in the Australian Immunisation Register (AIR). |
Rekodi ya KuchanjwaRekodi ya Kuchanjwa ni orodha ya chanjo zote za mtu zilizorekodiwa katika Rejesta ya Chanjo ya Australia (AIR). |
VaccinationA health program designed to introduce a vaccine into the body in order to produce protection against a specific disease. |
ChanjoMpango wa afya ulioundwa kuingiza chanjo katika mwili ili kutoa kinga dhidi ya ugonjwa maalum. |
Religious instruction (RI)RI is a program of instruction that is approved by a faith group. It is usually delivered by an approved religious instructor, with written consent to participate. RI is not a curriculum or syllabus provided by the Department of Education. |
Mafundisho ya kidini (RI)RI ni mpango wa mafundisho ambao umeidhinishwa na kikundi cha imani. Kwa kawaida hutolewa na mwalimu wa dini aliyeidhinishwa, kwa idhini iliyoandikwa ya kushiriki. RI si mtaala au mpangilio wa masomo unaotolewa na Idara ya Elimu. |
ReligionA religion is regarded as a set of faith-based beliefs and practices. |
DiniDini inazingatiwa kuwa seti ya imani na desturi zenye msingi wa imani. |
FaithThe commitment and acceptance of believers toward particular religious claims. |
ImaniAhadi na kukubalika kwa waumini kuelekea madai fulani ya kidini. |
School orientationThis is a day usually at the beginning of a school year when students meet each other and their teachers. It is designed to make the students feel comfortable about their new school. |
Maelekezo ya shuleHii ni siku ambayo kawaida ipo mwanzoni mwa mwaka wa shule ambapo wanafunzi hukutana pamoja na walimu wao. Imeundwa ili kuwafanya wanafunzi kujisikia vizuri kuhusu shule yao mpya. |
3. Vitabu na nyenzo za shule
School books and resources |
|
ResourcesAll of the books, devices and materials that students will need for their classes each day. |
NyenzoVitabu vyote, vifaa na nyenzo ambazo wanafunzi watahitaji kwa madarasa yao kila siku. |
TextbookA book that contains learning material for a particular subject area. |
Kitabu cha kiadaKitabu ambacho kina nyenzo za kujifunzia kwa eneo fulani la somo. |
Bring Your Own device (BYOD)Students bring their own device, such as a laptop or iPad, to school in order to access learning tools through the school’s network. |
Leta Kifaa Chako (BYOD)Wanafunzi wanaleta kifaa chao wenyewe, kama vile kompyuta ndogo au iPad, shuleni ili kupata vifaa vya kujifunzia kupitia mtandao wa shule. |
BooklistA list of all of the books required by students for learning each year. |
Orodha ya vitabuOrodha ya vitabu vyote vinavyohitajika na wanafunzi kwa ajili ya kujifunza kila mwaka. |
FeesFees are paid by families to be enrolled at the school and/or in general school activities. |
AdaAda hulipwa na familia ili kuandikishwa shuleni na/au katika shughuli za shule kwa ujumla. |
LevyA levy is paid by families to support specific programs and resources e.g., a technology levy. |
UshuruUshuru hulipwa na familia kusaidia programu na rasilimali maalum, k.m. ushuru wa teknolojia. |
VoluntarySomething is not required and may be undertaken if people want to do it. |
HiariKitu hakihitajiki na kinaweza kufanywa kama watu wanataka kukifanya. |
CompulsorySomething is absolutely required in law or policy, often with consequences if it is not done. |
LazimaKitu kinahitajika kabisa katika sheria au sera, mara nyingi na matokeo ikiwa hakijafanywa. |
Student Resource Scheme (SRS)The SRS provides a list of textbooks, resources, consumables and materials that students need for their learning. These materials can be purchased through the school at reduced prices compared to buying them at a shop. |
Mpango wa Nyenzo za Wanafunzi (SRS)SRS hutoa orodha ya vitabu vya kiada, nyenzo, vifaa vya matumizi na nyenzo ambavyo wanafunzi wanahitaji kwa masomo yao. Nyenzo hizi zinaweza kununuliwa kupitia shule kwa bei iliyopunguzwa ikilinganishwa na kuzinunua kwenye duka. |
InvoiceAn invoice requests payment and provides details of amounts due. |
AnkaraAnkara inaomba malipo na inatoa maelezo ya kiasi kinachodaiwa. |
ReceiptA receipt is a record of payment. |
RisitiRisiti ni rekodi ya malipo. |
School WiFiSchool WiFi. |
WiFi ya ShuleWiFi ya Shule. |
4. Mtalaa
Curriculum |
|
Australian Curriculum (AC)This outlines what should be taught in all Australian schools in Prep to Year 10. |
Mtalaa wa Australia (AC)Huu unaeleza kile kinachopaswa kufundishwa katika shule zote za Australia. |
Queensland Certificate of Education (QCE)A Queensland Senior Secondary schooling qualification which is recognised overseas. It is awarded to eligible students at the end of Year 12. |
Cheti cha Elimu cha Queensland (QCE)Sifa ya elimu ya Sekondari Kuu ya Queensland ambayo inatambulika ng’ambo. Inapewa kwa wanafunzi wanaostahiki mwishoni mwa Mwaka wa 12. |
Australian Tertiary Admission Rank (ATAR)ATAR is used nationally for entry to university. It indicates a student’s position relative to other students. |
Cheo cha Uandikishaji wa Vyuo vya Juu cha AustraliaATAR hutumika kitaifa kwa kuandikisha kwa chuo kikuu. Inaonyesha nafasi ya mwanafunzi ikilinganishwa na wanafunzi wengine. |
Senior SecondarySenior Secondary years include Years 11 and 12. |
Sekondari ya JuuMiaka ya Sekondari Kuu inajumuisha Miaka ya 11 na 12. |
Secondary SubjectsThe subjects offered by the school in Years 7 to 12. |
Masomo ya SekondariMasomo ambayo hutolewa na shule katika Miaka ys 7 hadi 12. |
ChemistryChemistry is the study of materials and substances, and how they change through interactions and the transfer of energy. |
KemiaKemia ni somo la nyenzo na dutu, na jinsi zinavyobadilika kupitia mwingiliano na uhamishaji wa nishati. |
BiologyBiology is the study of living organisms and how they interact with their own and other species and their environments. |
BiolojiaBiolojia ni somo la viumbe hai na jinsi wanavyoingiliana na wao wenyewe na aina nyingine na mazingira yao. |
Health and Physical Education (HPE)HPE is the study of physical education, health education and personal development. |
Afya na Elimu ya Kimwili (HPE)HPE ni somo la elimu ya kimwili, elimu ya afya na maendeleo ya kibinafsi. |
GeographyGeography is the study of the spatial interrelationships between people, places, and environments. |
JiografiaJiografia ni somo la uhusiano wa nafasi kati ya watu, mahali, na mazingira. |
EnglishEnglish is the study of language, literature, and literacy. |
KiingerezaKiingereza ni somo la lugha, fasihi, na kusoma na kuandika. |
Mathematics (Maths)Maths is the study of numbers. |
HisabatiHisabati ni somo la nambari. |
HistoryHistory is the study of societies, events, movements and developments that have shaped humanity over time. |
HistoriaHistoria ni somo la jamii, matukio, mienendo na maendeleo ambayo yameunda ubinadamu kwa muda. |
Civics and CitizenshipCivics and Citizenship is a learning area in Years 7 to 10. It is the study of Australia’s federal system of government and the values that underpin it. |
Uraia na UananchiUraia ni eneo la kujifunza katika Miaka ya 7 hadi 10. Huo ni somo la mfumo wa mfumo wa shirikisho wa serikali ya Australia na maadili yanayoiunga mkono. |
Work StudiesWork Studies is an optional learning area in Years 9-10. It provides vocational training and develops work-readiness skills. |
Masomo ya KaziMasomo ya Kazi ni eneo la kujifunza la hiari katika Miaka ya 9 hadi 10. Haya hutoa mafunzo ya ufundi na kukuza ujuzi wa utayari wa kazi. |
Primary Learning AreasKey areas of learning in primary schools. |
Maeneo ya Kujifunza kwa MsingiMaeneo muhimu ya kujifunza katika shule za msingi. |
LiteracyLiteracy is the knowledge and skills needed to read and write for effective communication. |
Kusoma na kuandikaKusoma na kuandika ni maarifa na ujuzi unaohitajika kusoma na kuandika kwa mawasiliano bora. |
NumeracyNumeracy is the knowledge and skills needed to work with numbers in a wide range of situations. |
KuhesabuNumeracy ni maarifa na ujuzi unaohitajika kushughulikia na nambari katika hali mbalimbali. |
Take home readersBooks loaned to students to be read at home and returned to school. |
Vitabu vya kusoma kupeleka nyumbaniVitabu ambavyo vinakopeshwa kwa wanafunzi ili visomwe nyumbani na kurudishwa shuleni. |
PhonicsPhonics is the relationship between letters and sounds when reading and spelling. |
FonetikiFonetiki ni uhusiano kati ya herufi na sauti wakati wa kusoma na kuandika tahajia. |
Humanities and Social Sciences (HASS)HASS is a learning area from Prep to Year 10. It includes the study of history, geography, civics and citizenship, and economics and business. |
Binadamu na Sayansi ya Jamii (HASS)HASS ni eneo la kujifunza kuanzia Shule ya Matayarisho hadi Mwaka wa 10. Inajumuisha somo la historia, jiografia, uraia na uananchi, na uchumi na biashara. |
ScienceScience is a learning area from Prep to Year 10.This is the study of the physical world. |
SayansiSayansi ni eneo la kujifunza kuanzia Shule ya Matayarisho hadi Mwaka wa 10. Hili ni somo la dunia la kimwili. |
TechnologiesTechnologies is a learning area from Prep to Year 10. This is the study of creating and using technology. |
TeknolojiaTeknolojia ni eneo la kujifunza kuanzia Shule ya Matayarisho hadi Mwaka wa 10. Hii ni somo la kuunda na kutumia teknolojia. |
The ArtsThe Arts is a learning area from Prep to Year 10. It is the study of different forms of expression. |
SanaaSanaa ni eneo la kujifunza kuanzia Shule ya Matayarisho hadi Mwaka wa 10. Hii ni somo la aina tofauti za kujieleza. |
LanguagesThe study of a language other than English. Each school decides which language or languages it will offer. |
LughaSomo la lugha nyingine isipokuwa Kiingereza. Kila shule huamua ni lugha gani itatolewa. |
Vocational education and training (VET)VET courses give students the practical skills and knowledge needed to join the workforce, gain an apprenticeship or traineeship, or enter tertiary study. |
Elimu na mafunzo ya ufundi (VET)Kozi za VET zinawapa wanafunzi ujuzi na maarifa ya vitendo yanayohitajika ili kupata kazi, kupata uanagenzi au mafunzo, au kuingia katika masomo ya elimu ya juu. |
Certificate of BusinessAn external course offered by the school via an external training organisation. This certificate is a qualification needed for skilled work in a professional office environment. |
Cheti cha BiasharaKozi ya nje inayotolewa na shule kupitia shirika la mafunzo ya nje. Cheti hiki ni sifa inayohitajika kwa kazi ya ujuzi katika mazingira ya ofisi ya kitaalum. |
Certificate of FitnessAn external course offered by the school via an external training organisation. This certificate is a qualification needed to work at a gym or as an exercise instructor. |
Cheti cha UsawaKozi ya nje inayotolewa na shule kupitia shirika la mafunzo ya nje. Cheti hiki ni sifa inayohitajika kufanya kazi kwenye ukumbi wa michezo au kama mwalimu wa mazoezi. |
Certificate of HospitalityAn external course offered by the school via an external training organisation. This certificate prepares students to work in the hospitality industry. |
Cheti cha UkarimuKozi ya nje inayotolewa na shule kupitia shirika la mafunzo ya nje. Cheti hiki kinatayarisha wanafunzi kufanya kazi katika tasnia ya ukarimu. |
5. Tathmini
Assessment |
|
National Assessment Program for Literacy and Numeracy (NAPLAN)NAPLAN is an Australia-wide test held every year for students in Years 3, 5, 7 and 9. It tests literacy and numeracy. |
Mpango wa Kitaifa wa Tathmini ya Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (NAPLAN)NAPLAN ni mtihani wa Australia kote unaofanywa kila mwaka kwa wanafunzi wa Miaka ya 3, 5, 7 na 9. Unapima kusoma, kuandika na kuhesabu. |
Report cardA summary of an individual student’s academic achievement over time. These are usually given twice a year. |
Kadi ya ripotiMuhtasari wa mafanikio ya kitaaluma ya mwanafunzi kwa muda. Huu hutolewa kawaida mara mbili kwa mwaka. |
TestTest. |
JaribioJaribio au mtihani. |
Exam/ExaminationExam/examination. |
Mtihani mkuuMtihani mkuu. |
GradeAn overall level of achievement for an area of study. |
DarajaKiwango cha jumla cha mafanikio kwa eneo la masomo. |
MarkMark. |
AlamaAlama au maksi. |
ResultResult. |
MatokeoMatokeo. |
A-E five-point reporting scaleThis scale is used to grade student achievement. The five points are often A, B, C, D, E, where A is the highest and E is the lowest. |
Kipimo cha kuripoti pointi tano A-EKipimo hiki kinatumika kuweka utaratibu kwa ufaulu wa wanafunzi. Pointi tano mara nyingi ni A, B, C, D, E, ambayo A ni juu sana na E ni chini sana. |
Marking rubricA table used for marking student work such as essays. It includes the marking criteria and the different standards needed to achieve each level. |
Rubriki ya alamaJedwali linalotumika kutoa alama kwa kazi za wanafunzi kama vile insha. Inajumuisha vigezo vya kuweka alam na viwango tofauti vinavyohitajika kufikia kila ngazi. |
ProgressionProgression is continuing to move through the required learning to the next stage. |
MaendeleoMaendeleo ni kuendelea ili kupitia mafunzo yanayohitajika hadi hatua inayofuata. |
Repeating a school year levelA student can redo a year level, if the student has not performed to the level required during that year. |
Kurudia kiwango cha mwaka wa shuleMwanafunzi anaweza kufanya tena ngazi yam waka, ikiwa mwanafunzi hajafanikiwa kwa kiwango kinachohitajika wakati wa mwaka ule. |
AssignmentAn assignment is a learning task which will be marked by the teacher and go towards final grades. |
MgawoMgawo ni kazi ya kujifunza ambayo itawekwa alama na mwalimu na kuchangia katika daraja za mwisho. |
DraftA text produced for an assignment that might be changed after feedback. Not a final copy. |
Rasimu/KiolezoMaandishi yaliyotolewa kwa ajili ya mgawo inayoweza kubadilishwa baada ya maoni. Sio nakala ya mwisho. |
Submission/SubmitThe process of handing in an assignment. |
Kuwasilisha/ WasiliMchakato wa kuwasilisha mgawo. |
Due dateThe date when an assignment must be handed in. |
Tarehe ya kutazamiwaTarehe ambayo mgawo lazima uwasilishwa. |
ExtensionAn extension provides permission to hand in an assignment after the official due date. This needs to be applied for and there must be a reason for the request e.g., being sick. |
NyongezaNyongeza hutoa ruhusa ya kuwasilisha mgawo baada ya tarehe rasmi ya kutazamiwa. Hii inahitaji kuombwa na lazima kuwe sababu ya ombi, k.m. kuwa mgonjwa. |
6. Mahali katika shule yetu
Places in our school |
|
AdministrationThis is the building where the school is managed from. It normally contains the reception area and the Principal’s office. |
UtawalaHuu ni jengo ambapo shule inaposimamiwa. Kawaida ina eneo la mapokezi na ofisi ya Mkuu wa shule. |
OfficeOffice. |
OfisiOfisi. |
ReceptionThe place where all visitors to the school should go when they first come to the school. |
MapokeziMahali ambapo wageni wote shuleni wanapaswa Kwenda wakati wanapokuja mara ya kwanza shuleni. |
LibraryThe place where students and teachers can get information needed to help with assignments, access to learning materials, books and reading support. The library may also be called the Resource Centre. |
MaktabaMahali ambapo wanafunzi na walimu wanaweza kupata taarifa zinazohitajika kusaidia na migawo, kupata nyenzo za kujifunzia, vitabu na usaidizi wa kusoma. Maktaba pia inaweza kuitwa Kituo cha Rasilimali. |
Resource CentreThe place where students and teachers can get information needed to help with assignments, access to learning materials, books and reading support. The Resource Centre may also be called the library. |
Kituo cha RasilimaliMahali ambapo wanafunzi na walimu wanaweza kupata taarifa zinazohitajika kusaidia na migawo, kupata nyenzo za kujifunzia, vitabu na usaidizi wa kusoma. Kituo cha Rasilimali pia kinaweza kuitwa Maktaba. |
TuckshopThe place where food can be bought at school. It may also be called a canteen. |
Duka la vyakula vitamuMahali ambapo chakula kinaweza kununuliwa shuleni. Inaweza pia kuitwa kantini. |
CanteenThe place where food can be bought at school. It may also be called a tuckshop. |
KantiniMahali ambapo chakula kinaweza kununuliwa shuleni. Inaweza pia kuitwa duka la vyakula vitamu. |
Sports CentreAn indoor space where many sports can be played. |
Kituo cha MichezoNafasi ya ndani ambapo michezo mingi inaweza kuchezwa. |
GymAn indoor space where many sports can be played. |
Ukumbi wa michezoNafasi ya ndani ambapo michezo mingi inaweza kuchezwa. |
OvalAn outdoor area where students can play sports and other outdoor activities. |
Ardhi kubwaNafasi ya nje ambapo wanafunzi wanaweza kucheza michezo na shughuli nyingine za nje. |
Science LabA special room which has been set up to do science experiments. |
Maabara ya SayansiChumba malaam ambacho kimewekwa kufanya majaribio ya kisayansi. |
ToiletsToilets. |
VyooVyoo. |
Computer LabA special room or space where a whole class can have access to computers for learning. |
Maabara ya KompyutaChumba au nafasi malaam ambayo wanafunzi wa darasa moja wanaweza kupatikana kompyuta kwa kujifunza. |
BlockA larger building that contains many classrooms. These blocks may be named to make them easier to find, e.g. F Block. |
JengoJengo kubwa zaidi ambalo lina vyumba vingi vya darasa. Majengo hayo yanaweza kuitwa na majina ili yawe rahisi zaidi kupata, k.m. Jengo la F. |
ClassroomClassroom. |
Chumba cha darasaChumba cha darasa. |
HomeroomA classroom that secondary school students will attend at the beginning of the day to record their attendance. |
Chumba cha darasa cha nyumbaniChumba cha darasa ambacho wanafunzi wa shule ya sekondari watahudhuria mwanzoni mwa siku ili kurekodi mahudhurio yao. |
Assembly areaA space where the whole school can meet together. |
Eneo la MkusanyikoNafasi ambapo shule nzima inaweza kukutana pamoja. |
EvacuationLeaving school buildings in an orderly way when there is a fire or other emergency. |
UokoajiKuondoka kwa majengo ya shule kwa utaratibu wakati kuna moto au dharura nyingine. |
DrillThis is when everyone in the school practises how to evacuate the school buildings safely. |
MazoeziHaya ni ambapo kila mtu shuleni anafanya mazoezi jinsi ya kuondoka salama kwa majengo ya shule. |
ProceduresA step-by-step guide of how to do something. |
UtaratibuMwongogo wa hatua kwa hatua wa jinsi ya kufanya kitu fulani. |
Evacuation mapA diagram that shows all the buildings in the school and where a person should go if there is an evacuation, e.g. if there is a fire. |
Ramani ya uokoajiMchoro unaoonyesha majengo yote shuleni na mahali ambapo mtu anapaswa kwenda ikiwa kuna uokoaji, k.m. ikiwa kuna moto. |
Sick bayStudents are taken to the sick bay to be looked after by a staff member of the school if they feel unwell or are hurt. |
Chumba cha wagonjwaWanafunzi wanasindikizwa kwa chumba cha wagonjwa ili kutunzwa na mfanyakazi wa shule ikiwa wanajisikia mgonjwa au wakiumizwa. |
Pick-up/Drop-off areaThis is a safe area where people can get in or out of a car. Cars cannot wait or park in this area, it is only for collecting or delivering students. |
Eneo la kuchukua/KuteremshaHili ni eneo la salama ambapo watu wanaweza kushusha au kupanda garini. Magari hayaruhusiwi kungoja au kusimamishwa kwenye eneo hili, ni kuwapata au kuteremsha wanafunzi tu. |
Bus stop areaThe area where students can wait for a bus or be left by a bus. |
Eneo la kituo cha basiEneo ambapo wanafunzi wanaweza kungoja kwa basi au kuteremshwa na basi. |
PlaygroundThe area where students are allowed to play. |
Uwanja wa kuchezaEneo ambapo wanafunzi wanaruhusiwa kucheza. |
Lunch areaThe area where students sit to eat their food. |
Eneo la chakula cha mchanaEneo ambapo wanafunzi huketi kula chakula chao. |
Eating areaThe area where students sit to eat their food. |
Eneo la kuliaEneo ambapo wanafunzi huketi kula chakula chao. |
StaffroomA room where teachers meet together. |
Chumba cha wafanyakaziChumba ambapo walimu wanakutana pamoja. |
Safety zone (for lock-down/evacuation)An area where it is safe to be and wait until an emergency is over. |
Eneo la usalama (kwa kufungwa/ uokoaji)Eneo ambapo ni salama kuwepo na kungoja hadi dharura imeisha. |
Prayer roomA quiet space where students are able to pray. |
Chumba cha saliNafasi ya kimya ambapo wanafunzi wanaweza kusali. |
WashroomA small room with a sink. |
Chumba cha kuoshaChumba kidogo kwenye beseni ya kuoshea. |
Uniform shopUniform shops operate at most schools and sell new and secondhand uniforms including sports uniforms for the students. |
Duka la sareMaduka ya sare yapo kwenye shule nyingi na yanauza sare mpya na mitumba ikijumuisha sare za michezo kwa wanafunzi. |
Lost propertyA designated place where lost items are stored. |
Mali iliyopoteaMahali maalum ambapo vitu vilivyopotea vinahifadhiwa. |
Bike (bicycle) rackA place where bicycles should be kept. |
Shubaka la kuwekea baisikeliMahali ambapo baisikeli zinapaswa kuwekwa. |
LockersLockers are provided by the school to give students a small space to store their belongings during the school day. |
Makabati ya kufungwaMakabati ya kufungwa hutolewa na shule ili kuwapa wanafunzi nafasi ndogo ya kuhifadhi vitu vyao wakati wa siku ya shule. |
School hallA large indoor space which can be used for a variety of purposes. |
Kumbi la ShuleNafasi kubwa ya ndani inayoweza kutumika kwa madhumuni mbalimbali. |
AuditoriumA large space with a stage and seating for an audience. |
UkumbiNafasi kubwa iliyo na jukwaa na viti vya hadhira. |
7. Ratibu ya kila siku
Daily schedule/Timetable |
|
School startThe beginning of the school day. |
Mwanzo wa shuleMwanzoni wa siku ya shule. |
School endThe end of the school day. |
Mwisho wa shuleMwishoni wa siku ya shule. |
TimetableA schedule of classes that a student will attend during the school week. |
RatibaRatiba ya madarasa ambayo mwanafunzi atahudhuria wakati wa wiki ya shule. |
BellBell or a tune that shows a change in routine. |
KengeleKengele au wimbo unaoonyesha mabadiliko katika utaratibu. |
BuzzerBuzzer. |
KilioKilio. |
SupervisionLooking after students at school or on school activities. |
UsimamiziKuwatunza wanafunzi shuleni au kwenye shughuli za shule.. |
Teacher on dutyA teacher who is available to help students. |
Mwalimu wa zamuMwalimu ambaye anapatikana kuwasaidia wanafunzi. |
Line upStudents standing in a line ready to move together into class or to another place in the school. |
Simama mstariniWanafunzi wanaosimama mstarini na kuwa tayari kuhamia darasani au kwa mahali pengine shuleni. |
Morning tea breakA break to eat some food in the morning. |
Mapumziko ya chai cha asubuhiMapumziko ya kula chakula kadhaa asubuhi. |
Lunch breakA break in the school day for children to eat some food. |
Mapumziko ya chakula cha mchanaMapumziko katika siku ya shule kwa watoto kula chakula kadhaa. |
RecessA break in the school day for children to eat, toilet and play. |
Muda wa mapumzikoMapumziko katika siku ya shule kwa watoto kula chakula, kwenda chooni na kucheza. |
Little lunchA short lunch break for morning or afternoon tea. This term is often used in primary school. |
Chakula kidogo cha mchanaMapumziko mafupi ya chakula cha mchana ya chai ya asubuhi au mchana. Neno hili linatumika sana katika shule za msingi. |
Big lunchA main lunch break. This term is often used in primary school. |
Chakula kingi cha mchanaMapumziko makuu ya chakula cha mchana. Neno hili linatumika sana katika shule za msingi. |
Student free dayA day when students do not attend school but the teachers and school staff are at the school. |
Siku bila wanafunziSiku ambapo wanafunzi hawaendi shuleni, lakini walimu na wafanyakazi wako shuleni. |
ParadeA gathering of school students and staff, for announcements to be made, usually with students in their Year levels. |
ParediMkusanyiko wa wanafunzi na wafanyakazi wa shule, matangazo yafanywe, kwa kawaida na wanafunzi katika hatua zao za Mwaka. |
AssemblyA gathering of school students and staff, for announcements to be made, usually with students in their Year levels. |
MkusanyikoMkusanyiko wa wanafunzi na wafanyakazi wa shule, matangazo yafanywe, kwa kawaida na wanafunzi katika hatua zao za Mwaka. |
Free periodA class or period where students are not learning a subject area and have time to work on tasks of their own choosing. |
Kipindi cha huruDarasa au kipindi ambacho wanafunzi hawasomi eneo la somo na wana muda kushughulika kazi za uchaguzi wao. |
Study periodA period for students to study individually. |
Kipindi cha kusomaKipindi kwa wanafunzi kusoma peke yao. |
8. Matukio ya shule
School events |
|
Musical concertAn event where students perform musical items. |
Tamasha la muzikiTukio ambalo wanafunzi wanacheza muziki. |
School playAn event where students perform a piece of theatre at school for the school community. |
Tamthilia ya shuleTukio ambalo wanafunzi wanaiga tamthilia shuleni kwa jumuiya ya shule. |
School feteA school community event where there are stalls to buy small items, rides and often student performances. |
Sherehe ya shuleTukio la jumuiya ya shule ambalo kuna maduka ya kununua vitu vidogo, wapanda farasi na mara nyingi maonyesho ya wanafunzi. |
CarnivalAn event where students are involved in sports, e.g. a swimming carnival, an athletics carnival. |
KanivaliTukio ambalo wanafunzi wanahusika katika michezo, k.m. kanivali ya kuogolea, au kanivali ya riadha. |
Cross countryA long run often outside the school grounds. |
Mbio za kukatambugaKimbilio kidefu mara nyingi nje ya viwanja vya shule. |
FormalA dinner and dance for students in Year 12. |
RasmiChakula cha jioni na densi kwa wanafunzi wa Mwaka wa 12. |
Semi-formalA dinner and dance for students in Year 11. |
RasmirasmiChakula cha jioni na densi kwa wanafunzi wa Mwaka wa 11. |
Awards nightA night where students are given awards for achievements. |
Tukio la tuzoTukio jioni ambapo wanafunzi hupewa tuzo kwa mafanikio. |
GraduationA special ceremony in which students who have finished school receive a certificate when they have completed school. |
MahafaliSherehe maalum ambamo wanafunzi waliomaliza shule hupokea cheti wanapomaliza shule. |
Refugee DayEvents to celebrate and raise awareness of challenges that refugees have living in Australia. |
Siku ya wakimbiziMatukio ya kusherekesha na kuongeza ufahamu juu ya changamoyo kwamba wakimbizi wanao wanapoishi nchini Australia. |
Day for DanielA day where students will wear a red T-shirt to raise awareness about child safety. The day remembers a young boy Daniel Morcombe who went missing on the way to the shops. |
Siku kwa DanielSiku ambapo wanafunzi watavaa shati nyekundu ya T ili kungeza ufahamu juu ya usalama wa watoto. Siku hiyo hukumbuka mwulana mdogo Daniel Morcombe ambaye alipotea njiani kwenye maduka. |
NAIDOCAn opportunity for all Australians to learn about and celebrate Aboriginal and Torres Strait Islander cultures and histories. |
NAIDOCFursa kwa Waasustralia wote kujifunza juu yake na kusherekesha matumaduni na historia ya watu wa Asili na wa visiwa vya Torres Strait. |
Reconciliation DayA day or week where there is a focus on learning about our shared histories, cultures, and achievements. |
Siku ya UpatanishoSiku au wiki ambapo kuna umakini wa kujifunza kuhusu historia zetu zilizoshirikiwa, tamaduni na mafanikio. |
Book WeekA week where students celebrate books and reading. Students often dress up to look like their favourite book characters. and can purchase books at school. |
Wiki ya Vitabu,Wiki ambapo wanafunzi wanasherekesha vitabu na kusoma. Mara nyingi wanafunzi huvaa ili waonekane kama wahusika wanaopendawa wa kitabu, na wanaweza kununua vitabu shuleni. |
Free dress dayA school event where students do not wear the school uniform but wear casual clothes to raise money. Students make a small donation to wear casual clothes. |
Siku ya mavazi ya huruTukio la shule ambalo wanafunzi hawavai sare ya shule lakini huvaa nguo za za kawaida ili kupata pesa. Wanafunzi wanatoa mchango mdogo wa kuvaa nguo za kawaida. |
Sausage sizzleA barbecue where sausages are cooked and added to a slice of bread for students to purchase to raise money for the school. |
Kibanda cha sosejiChoma choma ambapo soseji zinapikwa na kuongezwa kwenye slesi ya mkate ili wanafunzi wanunue kuchangisha fedha kwa ajili ya shule. |
Cake stallA stall to sell items (e.g. cakes or sweets) to raise money. |
Kibanda cha kekiDuka la kuuza vitu (k.m. keki au pipi) ili kupata pesa. |
Carols nightA school concert of Christmas songs, often held at the end of the year. |
Tukio la wimbo wa Kuzaliwa kwa KristoTamasha la shule la nyimbo za Krismasi, mara nyingi hufanyika mwishoni mwa mwaka. |
9. Mchezo na shughuli ziada za mtaala
Sport and extra-curricular activities |
|
Sporting teamA group of students who play a sport together. |
Timu ya kuchezaKikundi cha wanafunzi wanaocheza mchezo pamoja. |
District sports carnivalA carnival where students from schools in the district attend to compete with each other. |
Kanivali ya michezo ya wilayaKanivali ambapo wanafunzi kutoka shule za wilaya huhudhuria ili kushindana wao kwa wao. |
School houseStudents are often organised into Houses for sport and arts events. A House will have a name and a colour. |
Nyumba ya shuleWanafunzi mara nyingi hupangwa katika Nyumba kwa matukio ya michezo na sanaa. Nyumba itakuwa na jina na rangi. |
CaptainThe leader of a group of students, e.g. of a sports team. |
KapteniKiongozi wa kikundi cha wanafunzi, k.m. wa timu ya michezo. |
Team memberA person who plays on a sports team. |
Mjumbe wa timuMtu ambaye anacheza katika timu ya mchezo. |
FootballFootball. |
Mchezo wa mpira wa miguuMchezo wa mpira. |
SoccerSoccer. |
SokaSoka. |
TennisTennis. |
TenisiTenisi. |
SwimmingSwimming. |
KuogoleaKuogolea. |
NetballNetball. |
NetiboliNetiboli. |
CricketCricket. |
KriketiKriketi. |
Rugby LeagueRugby league. |
Ligi ya RagaLigi ya Raga. |
Rugby UnionRugby union. |
Muungano wa RagaMuungano wa Raga. |
BoxingBoxing. |
NdondiNdondi. |
VolleyballVolleyball. |
Mpira wa wavuMpira wa wavu. |
BasketballBasketball. |
Mpira wa kikapuMpira wa kikapu. |
TouchTouch football. |
GusaMpira wa Gusa. |
KarateKarate. |
KarateKarate. |
Martial ArtsMartial arts. |
Mbinu za KupiganaMbinu za Kupigana. |
ClubAn extracurricular activity, e.g. sport or music. |
KlabuShughuli ya ziada ya mtaala, k.m. mchezo au muziki. |
House coloursStudents are often organised into Houses for sport and arts events. The House will have a name and a colour. |
Rangi za nyumbaWanafunzi mara nyingi hupangwa katika Nyumba kwa matukio ya michezo na sanaa. Nyumba itakuwa na jina na rangi |
Intra-school sportPlaying sport against other teams of students from the same school. |
Mchezo wa ndani ya shuleKucheza mchezo dhidi ya timu nyingine za wanafunzi kutoka shule moja. |
Inter-school sportPlaying sport against teams of students from other schools. |
Mchezo baina ya shuleKucheza mchezo dhidi ya timu nyingine za wanafunzi kutoka shule nyingine. |
OrchestraA group of students who play instruments together, including stringed instruments such as violins. |
OkestraKikundi cha wanafunzi ambao wanacheza ala za musiki pamoja, ikijumuisha ala za nyuzi kama vile violin. |
BandA group of students who play instruments together, often without stringed instruments. |
BendiKikundi cha wanafunzi ambao wanacheza ala za musiki pamoja, mara nyingi bila ala za nyuzi. |
ChoirA group of students who sing together. |
KwayaKikundi cha wanafunzi ambao wanaimba pamoja. |
Homework clubAfter-school support for schoolwork. Often supervised by teachers or volunteers. |
Klabu ya zoeziMsaada wa baada ya shule kwa kazi ya shule. Mara nyingi husimamiwa na walimu au watu wa kujitolea. |
CampAn overnight trip away from school or a sleepover at the school. |
KambiSafari ya usiku mbali na shule au kulala shuleni. |
ExcursionA trip organised by the school where students are taken out of the school grounds. |
MatembeziSafari iliyoandaliwa na shule ambapo wanafunzi wansindikizwa nje ya viwanja vya shule. |
Driving information/Driving test/Getting a licenceThe process of learning how to drive a car and getting a licence to drive a car. |
Habari ya kuendesha / Mtihani wa kuendesha / Kupata leseniKupata leseni. |
10. Uchaguzi wa somo na njia za juu
Subject selection and senior pathways |
|
Senior Education and Training plan (SET plan)A plan that gives career advice to students. |
Mpango wa Elimu na Mafunzo ya Juu (Mpango wa SET)Mpango ambao hutoa ushauri wa kazi kwa wanafunzi. |
Elective subjectA school subject that a student can choose based on their interest. |
Somo la kuchaguliwaSomo la shule ambalo mwanafunzi anaweza kuchagua kulingana na nia yake. |
Compulsory subjectA school subject that all students must complete. |
Somo la lazimaSoma la shule ambalo wanafunzi wote lazima wakamilisha. |
Queensland Tertiary Admissions Centre (QTAC)Queensland Tertiary Admissions Centre processes applications for students to attend university. |
Kituo cha Uandikishaji wa Vyuo vya Juu cha Queensland (QTAC)Kituo cha Uandikishaji wa Vyuo vya Juu cha Queensland kinashughulikia maombi ya wanafunzi kuhudhuria chuo kikuu. |
School-based apprenticeships and traineeships (SATs)Provides the opportunity for students to undertake training in skilled trades for example hairdressing, plumbing, or building, while they are still at school. |
Uanagenzi na mafunzo ya shule (SATs)Hutoa fursa kwa wanafunzi kufanya mafunzo ya ufundi stadi kwa mfano ushonaji nywele, ufundi mabomba, au ujenzi, wakiwa bado shuleni. |
PathwaysThe different types of subjects that students in secondary school might enrol in, e.g. workplace training subjects that may lead to a traineeship or academic subjects which may lead to university after school. |
NjiaAina tofauti za masomo ambazo wanafunzi katika shule ya upili wanaweza kujiandikisha, k.m. masomo ya mafunzo ya mahali pa kazi yanayoweza kuelekea mafunzo au masomo ya kitaaluma yanayoweza kuelekea chuo kikuu baada ya shule. |
PlacementMatching a student with an educational program that suits their individual needs. |
UwekajiKulinganisha mwanafunzi na programu ya elimu inayofaa mahitaji yake binafsi. |
TraineeshipsProvides training in vocational employment e.g., childcare, business administration. |
MafunzoHutoa mafunzo ya ajira ya ufundi k.v. huduma ya watoto, usimamizi wa biashara. |
ApprenticeshipsProvides training in skilled trades e.g. hairdressing, plumbing, or building. |
UanagenziHutoa mafunzo ya ufundi stadi k.m. ushonaji nywele, ufundi mabomba, au ujenzi. |
Vocational and Educational TraineeshipsThe opportunity to attend a workplace to learn about different jobs and professions. |
Mafunzo ya Ufundi na ElimuFursa ya kuhudhuria mahali pa kazi ili kujifunza kuhusu kazi na taaluma mbalimbali. |
ScholarshipFunding support to allow students to further their education. |
Msaada wa masomo wa uzoefu wa kaziMsaada wa ufadhili kuwawezesha wanafunzi kuongeza elimu yao. |
Certificate courseCertificate course. |
Kozi ya chetiKozi ya cheti. |
QualificationsAn official record that indicates you have completed training to do a particular job or activity. |
SifaRikodi rasmi inayooonyesha kuwa umemaliza mafunzo kufanya kazi au shughuli fulani. |
TAFE (Technical and Further Education)Technical and Further Education. |
TAFE (Elimu ya Ufundi na Ziada)Elimu ya Ufundi na Ziada. |
Senior external examinationExams or tests that all Year 12 students across the state sit. The Senior External Examination is a program of individual subject examinations offered to eligible Year 12 students and adult learners. |
Mtihani mkuu wa njeMitihani mikuu au mitihani ambayo wanafunzi wote wa Mwaka 12 kote jimboni hufanya. Mtihani Mkuu wa Nje ni mpango wa mitihani ya somo binafsi inayotolewa kwa wanafunzi wanaostahili wa Mwaka wa 12 na wanafunzi wazima. |
11. Hali njema na ustawi wa wanafunzi
Student welfare and well-being |
|
Student welfareSupport to create a safe and caring environment for students. |
Ustawi wa wanafunziUsaidizi wa kuweka mazingira salama na yenye kujali kwa wanafunzi. |
Student servicesSupport services for students related to academic, social and personal issues. |
Huduma za wanafunziHuduma za msaada kwa wanafunzi kuhusiana masuala ya kitaalam, kijamii na kibinafsi. |
Students with disabilityA student who has a physical, social or mental health issue that might affect their participation in school. https://australiancurriculum.edu.au/resources/student-diversity/meeting-the-needs-of-students-with-a-disability/ |
Wanafunzi wenye ulemavuMwanafunzi ambaye ana suala la afya ya kimwili, kijamii au kiakili ambalo linaweza kuathiri ushiriki wao shuleni. https://australiancurriculum.edu.au/resources/student-diversity/meeting-the-needs-of-students-with-a-disability/ |
Personalised Learning Plan (PLP)A learning plan written by teachers with parents to help a student get the support they need to continue to learn. |
Mpango wa Kujifunza kwa Kibinafsi (PLP)Mpango wa kujifunza ulioandikiwa na walimu na wazazi ili kumsaidia mwanafunzi kupata usaidizi wanaohitaji ili kuendelea kujifunza. |
ChaplaincyServices provided to students related to personal support, spiritual and ethical issues. |
UkasisiHuduma ambazo hutolewa kwa wanafunzi kuhusiana na usaidizi wa kibinafsi, masuala ya kiroho na maadili. |
National Disability Insurance Scheme (NDIS)A scheme to help get funding for support and services related to a permanent and significant disability. |
Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu (NDIS)Mpango wa kusaidia kupata ufadhili wa usaidizi na huduma zinazohusiana na ulemavu wa kudumu na muhimu. |
Mental healthRelated to emotional, psychological, and social well-being. It helps us to handle stress, making choices, and our relationships with others. |
Afya ya kiakiliKuhusiana na ustawi wa kihisia, kisaikolojia, na kijamii. Inasaidia kuvumilia mkwazo, kufanya uchaguzi, na mahusiano yetu na wengine. |
WellbeingHappiness and feeling well and safe. Wellbeing is about balance in all aspects of life. |
UstawiUfuraha na kuhisi vizuri na salama. Ustawi unahusu usawa katika nyanja zote za maisha. |
School counsellorA school counsellor works with students to provide support for social, academic and emotional wellbeing. |
Mshauri nasaha wa shuleMshauri nasaha wa shule anafanya kazi na wanafunzi ili kutoa usaidizi kwa ustawi wa kijamii, kitaalam na kihisia. |
Pastoral carePrograms to look after the health and wellbeing of students. |
Uangalifu wa uchungajiProgramu za kuangalia afya na ustawi wa wanafunzi. |
12. Sera ya shule
School policy |
|
Fire drillPractising how to leave buildings safely in the event of a fire. |
Mazoezi ya motoKufanya mazaoezi jinsi ya kuondoka majengo kwa salama katika tukio la moto. |
EvacuationLeaving school buildings in an orderly way when there is a fire or other emergency. |
KuhamishwaKuondoka kwa majengo ya shule kwa utaratibu wakati kuna moto au dharura nyingine. |
Uniform policyRules about what you can wear at school. |
Sera ya sareSheria kuhusu unazoweza kuvaa shuleni. |
Behaviour policyRules and procedures about student behaviour at school. |
Sera ya tabiaSheria na taratibu kuhusu tabia ya wanafunzi shuleni. |
Mobile phone policyRules related to mobile phones at school. |
Sera ya simu ya mkononiSheria kuhusiana na simu za mahiri shuleni. |
Technology permissionParents are asked to give permission for a student to use technology and be online at school. |
Ruhusa ya teknolojiaWazazi wanaombwa kutoa idhini kwa mwanafunzi kutumia teknolojia na kutumia mtandaoni shuleni. |
Sun safetyBeing safe in the sun and not getting sunburnt – wearing hats, applying sunscreen. |
Usalama wa juaKuwa salama kwenye jua na kutochomwa na jua – kuvaa kofia, kupaka mafuta ya jua. |
School websiteSchool website. |
Tovuti ya shuleTovuti ya shule. |
First aidMedical treatment to help when a student gets hurt. |
Msaada wa kwanzaMatibabu ya kumsaidia mwanafunzi anapoumia. |
Cybersafety/CyberbullyingBullying that occurs through social media and other forms on the internet. |
Usalama mtandaoni/ Unyanyasaji mtandaoniUonevu ambao unatokea kupitia vyombo vya kijamii na fomu zingine kwenye mtandao. |
AttendanceBeing at school or in a program or class. |
MahudhurioKuwa shuleni au katika programu au darasa. |
13. Kanuni za maadili
Code of conduct |
|
BehaviourThe things we do and how we act. |
TabiaMambo tunayofanya na jinsi tunavyotenda. |
Positive behaviourPositive behaviour is a policy which focuses on actions that create a trusting, harmonious environment at school. |
Tabia nzuriTabia nzuri ni sera ambayo inazingatia vitendo vinavyounda mazingira ya kuaminiana, yenye usawa shuleni. |
ConsequencesThe results of an action which may be productive or harmful to oneself or others. |
MatokeoMatokeo ya kitendo ambacho kinaweza kuwa na tija au madhara kwake au kwa wengine. |
ExpectationsExpectations is a term that relates to the belief that all students can reach high levels of accomplishment. The accomplishment might be in academic schoolwork, or sport, or another area where the student has an interest and is able to attain rewards for effort. |
MatarajioMatarajio ni neno linalohusiana na imani kwamba wanafunzi wote wanaweza kufikia viwango vya juu vya ufaulu. Mafanikio yanaweza kuwa kazi ya shule ya kitaalam, au mchezo, au eneo lingine ambalo mwanafunzi ana nia na anaweza kupata zawadi kwa juhudi. |
RespectTreating other people fairly and recognising their diversity as positive. |
HeshimaKuwatendea watu wengine kwa haki na kutambua utofauti wao kuwa mzuri. |
SafetyBeing safe. |
UsalamaKuwa salama. |
ResponsibilityResponsibility is another area of behaviour at school where students and teachers accept the obligation to behave and interact with each other in a respectful, ethical way. |
WajibuWajibu ni eneo lingine la tabia shuleni ambalo wanafunzi na walimu wanakubali wajibu wa kuishi na kuingiliana na kila mmoja kwa njia ya heshima na maadili. |
DisciplineRules and activities designed to manage student behaviour. |
NidhamuSheria na shughuli zilizoundwa kudhibiti tabia ya wanafunzi. |
RewardReceiving something for good behaviour or good work. |
ZawadiKupokea kitu kwa tabia nzuri au kazi nzuri. |
PunishmentAdding or taking something away as a penalty for behaving inappropriately. |
AdhabuKuongeza au kuondoa kitu kama adhabu kwa tabia isiyofaa. |
Substance misconductTaking illegal drugs or using other substances like alcohol that are against school rules. |
Utovu wa nidhamu wa dutuKutumia dawa za kulevya au kutumia vitu vingine kama vile pombe ambazo ni kinyume na sheria za shule. |
Verbal misconductSwearing or saying nasty things. |
Utovu wa nidhamu wa manenoKutukana au kusema mambo machafu. |
BullyingBullying is ongoing and deliberate verbal, physical or social behaviour that aims to hurt someone else. Bullying at school is seen as negatively affecting everyone involved, including bystanders. |
UonevuUonevu ni tabia inayoendelea na ya makusudi ya maongezi ya kimwili au kijamii inayolenga kumuumiza mtu mwingine. Uonevu shuleni unaonekana kuathiri vibaya kila mtu anayehusika, ikiwa ni pamoja na watazamaji. |
TruancyTo miss school or lessons without a good reason, and usually without parents/carers knowing. |
UtoroKukosa kwenda shuleni au masomo bila sababu nzuri, na kawaida bila wazazi/walezi kujua hivyo. |
FightingTo use physical force or to argue with another or others. |
KupiganaKutumia nguvu ya kiwmili au kubishana na mwingine au wengine. |
CheatingTo get academic outcomes by being dishonest. |
KudanganyaKupata matokeo ya kitaaluma kwa kutokuwa mwaminifu. |
Prohibited itemSomething that is not allowed in school. |
Kitu kischoKitu ambacho hakiruhusiwi shuleni. |
PlagiarismPlagiarism involves a student using the words of someone else and claiming that he or she wrote them. This is inappropriate because it is effectively taking someone else’s ideas. |
WiziWizi huhusisha mwanafunzi kutumia maneno ya mtu mwingine na kudai kuwa ndiye aliyeyaandika. Hii haifai kwa sababu kwa kweli inaiba mawazo ya mtu mwingine. |
Restorative justiceActivities that aim to restore relationships or repair harm. |
Haki ya kurekebishaShughuli zinazolenga kurejesha uhusiano au kurekebisha madhara. |
Risk assessmentTo assess the risks of certain activities to keep everyone safe. |
Tathmini ya hatariKutathmini hatari za shughuli fulani ili kuweka kila mtu salama. |
DetentionNot being allowed to be involved in usual school activities, for example breaks, as a result of inappropriate behaviour. |
UzuiliwajiKutoruhusiwa kushiriki katika shughuli za kawaida za shule, kwa mfano, mapumziko, kama matokeo ya tabia isiyofaa. |
SuspensionTo be removed from school for a certain period of time because of behaviour – for example one day or up to twenty days. |
KusimamishwaKuondolewa kutoka shuleni kwa kipindi fulani kwa sababu ya tabia – kwa mfano siku moja hadi siku ishirini. |
ExclusionTo be removed from school because of behaviour. |
KutengwaKuondolewa kutoka shuleni kwa sababu ya tabia. |
Reflection roomA room at school where students can go to reflect on their inappropriate behaviour. |
Chumba cha kufikiraChumba shuleni ambapo wanafunzi wanaweza kwenda ili kufikiria tabia zao zisizofaa. |
DiscriminationTreating someone unfairly because of who they are, e.g. on the basis of their age, disability, gender, or race. |
UbaguziKumtendea mtu isivyo haki kwa sababu ya yeye ni nani, k.m. kwa misingi ya umri, ulemavu, jinsia, au rangi/mbari. |
StealingAn inappropriate behaviour that involves taking something that does not belong to you. |
KuibaTabia isiyofaa inayohusisha kuchukua kitu ambacho si chako. |
14. Uwasiliano kati wa nyumbani na shuleni
Home-school communication |
|
Reporting bullyingTelling the school if a student has been bullied. This is called a complaint. https://www.qld.gov.au/education/schools/information/contact/complaint |
Kuripoti uonevuKuiambie shuleni kama mwanafunzi ameonewa. Hii inaitwa malalamiko. https://www.qld.gov.au/education/schools/information/contact/complaint |
Parent teacher interviewA meeting where a teacher and parent talk about a student’s learning outcomes and other activities at school. |
Mahojiano ya mzazi na mwalimuMkutano ambapo mwalimu na mzazi wanazungumza juu ya matokeo ya mwanafunzi na shughuli nyingine shuleni. |
TranslatorNAATI qualified translator. |
MfasiriMfasiri wenye sifa ya NAATI. |
NewsletterA digital or printed text that provides information about school events, announcements and activities. |
JaridaNakala ya dijiti au iliyochapishwa ambayo hutoa habari kuhusu matukio ya shule, matangazo na shughuli. |
Text messageText message. |
Ujumbe wa maandishiUjumbe wa maandishi. |
Email. |
Barua pepeBarua pepe. |
Phone callTelephone call. |
SimuSimu ya simu. |
Parent meetingsA meeting where teachers give information to parents. |
Mikutano ya wazaziMkutano ambapo walimu wanatoa maelezo kwa wazazi. |
Parent information eveningA session for parents to listen to teachers telling them about what students will learn and do at school. |
Jjioni ya habari ya wazaziKikao kwa ajili ya wazazi kuwasikiliza walimu wakiwaambia kuhusu nini kinachotokea shuleni. |
NotificationTo let the school know something e.g. telling the school your child won’t attend school. |
TaarifaKumfahamisha shule kita fulani k.m. kumwambia shule kwamba mtoto wako hamtaenda shuleni. |
AbsenceTo stay away from school. |
KutokuwepoKutowenda shuleni. |
SickTo not feel well. |
MgonjwaKutojisikia vizuri. |
Medical certificateA document signed by a doctor to say that a student has been sick and unable to do school work or attend school. |
Cheti cha kimatibabuNyaraka iliyowekwa saini ya daktari kueleza mwanafunzi amekuwa mgonjwa na hakuweza kufanya shughuli ya shule au kuhudhuria shuleni. |